UMAHIRI MKUU |
UMAHIRI MAHUSUSI |
SHUGHULI ZA UFUNDISHAJI |
MWEZI |
WIKI |
VIPINDI |
REJEA |
VIFAA/ZANA ZA UFUNDISHAJI |
ZANA ZA UPIMAJI |
MAONI |
|
|
|||||||||||||||||
1.0KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KUWASILISHA WAZO AU HOJA ( SEHEMU YA KWANZA) |
1.1KUTUMIA DHANA YA NAMBA KUWASILIANA KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI |
i) kuwaongoza kuhesabu hadi 99999 kwa mfuatano |
JANUARI
|
2
|
6 |
T.E.T. ( 2018) Hisabati Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam
T.E.T. ( 2018) Hisabati Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam
T.E.T. ( 2018) Hisabati Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam |
Abakasi , sinia la namba, vifani , vitu halisi. |
Maswali na majibu |
|
|
||||||||||||||||||
ii) kusoma namba hadi 99999 |
3 |
6 |
|
|||||||||||||||||||||||||
iii) kuwaongoza kuandika namba kwa tarakimu hadi 99999 iv) kuwaongoz kuandika namba kwa maneno hadi 99999 v) Kuwaongoza kubaini thamani ya tarakimu katika namba |
4 |
6 |
Abakasi , sinia la namba, vifani , vitu halisi. |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
5 |
3 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||||
vi) Kuwaongoza kusoma namba za kirumi I hadi L vii) kuwaongoza kuandika namba za kirumi I hadi L |
FEBRUARI |
1 |
6 |
Kadi a namba za kirumi, chtati za namba za kirumi |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||
viii) kuwaongoza kutaja matumizi ya namba za kirumi |
2
|
6 |
|
|||||||||||||||||||||||||
2.0KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU (SEHEMU YA KWANZA) |
2.1KUTUMIA STADI ZA MPANGILIO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU |
i) kuwaongoza kubaini mfululuzi wa namba unaongezeka na kupungua |
3
|
6 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||
ii) kuwaongoza kubaini namba zinazokosekana katika mfululuzi (zisizidi tano) |
4
|
6 |
|
|||||||||||||||||||||||||
3.0KUTATUA MATATIZO KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI |
3.1KUTUMIA MATENDO YA NAMBA YA KIHISABATI KATIKA KUTATUA MATATIZO |
i) kuwaongoza kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 99999 bila kubadili |
MACHI
|
1
|
6 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||
ii) kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 99999 kwa kubadili. Iii) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kujumlisha namba |
2 |
3 |
sinia la namba,
|
Maswali na majibu
|
|
|||||||||||||||||||||||
iv) kuwaongoza kutoa namba zenye tarakimu hadi tano bila kubadili v) kutoa namba zenye tarakimu hadi tano kwa kubadili |
2 |
3 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
Vi) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kutoa namba |
3 |
3 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
vii) kuwaongoza kuzidisha namba zenye tarakimu hadi tatu kwa kizidisho chenye tarakimu hadi mbili |
MACHI |
3
|
3 |
sinia la namba, |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||
MITIHANI YA NUSU MUHULA WA KWANZA |
|
|
||||||||||||||||||||||||||
|
LIKIZO FUPI 31 /03 HADI 11/04/2023 |
|
||||||||||||||||||||||||||
|
|
Viii) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kuzidisha namba ix) kuwaongoza kugawanya vitu katika mafungu kadhaa yaliyosawa. x) kuwaongoza kugawanya namba zenye tarakimu hadi tatu kwa kigawanyo chenye tarakimu hadi mbili bila baki. |
APRIL |
2 |
6 |
T.E.T. ( 2018) Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam |
Chati ya kuzidisha |
Maswali na majibu |
|
|
||||||||||||||||||
3 |
6 |
Chati ya kugawanya |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||||
xi) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kugawanya namba xii) kuwaongoza kujumlisha sehemu zenye asili moja xiii) kuwaongoza kutoa sehemu zenye asili moja |
APRILI |
4
|
3 |
Chati ya kugawanya |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||
4
|
3 |
Chati ya kujumlisha sehemu |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||||
|
mazoezi |
|
||||||||||||||||||||||||||
3.2KUTUMIA STADI ZA UHUSIANO WA NAMBA NA VITU KUTATUA MATATIZO KATIKA MUKTADHA MBALIMBALI |
i) kuwaongoza kusoma saa kamili na dakika ii) kuwaongoza kuandika saa kamili na dakika |
MEI
|
1
|
6 |
Chati za saa, vifani |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||
Iii) kuwaongoza kujumlisha saa na dakika |
2 |
6 |
Vifani vya saa |
mazoezi |
|
|||||||||||||||||||||||
iv) kuwaongoza kutoa saa na dakika v) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu wakati |
3 |
6 |
T.E.T. ( 2018) Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam |
Vifani vya saa |
Maswali na majibu |
|
|
|||||||||||||||||||||
vi) kuwaongoza kujumlisha fedha za Tanzania vii) kuwaongoza kutoa fedha za Tanzania |
4 |
3 |
Vifani vya fedha |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
ix) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu manunuzi na mauzo |
|
4
|
3 |
|
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||
|
MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA |
|
|
|
MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA |
|
||||||||||||||||||||||
|
LIKIZO YA MUHULA WA KWANZA 31/05/2023 HADI 03/07/2023 |
|
LIKIZO YA MUHULA WA KWANZA 31/05/2023 HADI 03/07/2023 |
|
||||||||||||||||||||||||
4.0 KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU(SEHEMU YA PILI) |
4.1KUTUMIA STADI ZA VIPIMO KATIKA MUKTADHA MBALIMBALI |
i) kuwaongoza kubadili vipimo vya urefu vya metriki |
JUL |
1&2
|
6 |
|
Chati ya vipimo vya urefu |
Maswali na majibu |
|
|
||||||||||||||||||
ii) kuwaongoza kupima urefu kwa kutumia vipimo vya metriki iii) kuwaongoza kubadili vipimo vya uzani |
|
3&4
|
6 |
Vipimo vya metriki |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||
6 |
Vipmo uzani |
mazoezi |
|
|||||||||||||||||||||||||
iv) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu vipimo vya uzani |
AGOSTI |
1&2 |
6 |
T.E.T. ( 2018) Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam
|
mizani |
Maswali na majibu |
|
|
||||||||||||||||||||
v) kuwaongoza kubaini vipimo mbalimbali vya ujazo katika mazingira yao vi) kuwaongoza kupima ujazo kwa kutumia vipimo mbalimbali vii) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu vipimo vya ujazo |
3&4
|
12 |
Chati ya vipimo vya ujazo mbalimbali |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
|
MTIHANI WA LIKIZO FUPI KUFUNGA SHULE LIKIZO FUPI 01/09/ HADI 18/09/2023 |
|
||||||||||||||||||||||||||
4.2KUTUMIA STADI ZA MAUMBO KATIKA MUKTADHA WA HISABATI |
i) kuwaongoza kuchora mstari mnyoofu na kipande cha mstari. |
SEP
|
3
|
6 |
T.E.T. ( 2018) Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la nne Dar es Salaam |
Penseli, rula , bikali |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||
ii) kuwaongoza kupima mzingo wa umbo bapa |
4 |
6 |
Vifani vya maumbo bapa na pembetatu |
Maswali na majibu |
|
|||||||||||||||||||||||
iii) kuwaongoza kukokotoa mzingo wa mraba wa mstatili na pembetatu |
|
|||||||||||||||||||||||||||
iv) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu mzingo |
|
1 |
3 |
|
||||||||||||||||||||||||
Chati ya mafumboa |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||||||||
5.0 KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KUWASILISHA WAZO AU HOJA( SEHEMU YA PILI) |
5.1KUTUMIA STADI ZA TAKWIMU KWASILISHA TAARIFA MBALIMBALI |
i) kukusanya na kurekodi data
|
OCTOBA
|
1
|
3 |
Chati ya takwimu |
Maswali na majibu |
|
||||||||||||||||||||
ii) kuchora takwimu kwa picha kwa kutumia taarifa zilizowasilishwa |
2
|
6 |
|
|||||||||||||||||||||||||
|
MAANDALIZI YA MTIHANI WA TAIFA |
|
|
|||||||||||||||||||||||||
|
LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA |
|
|
|||||||||||||||||||||||||
|
HALMASHAURI YA WILAYA YA _____________
SHULE YA MSINGI _________________
AZIMIO LA KAZI LA HISABATI DARASA LA IV 2023
MUHULA WA 1&2
JINA LA MWALIMU: ____________________
. Umahiri utakaojengwa kwa mwanafunzi darasa la IV
Umahiri Mkuu |
Umahiri Mahususi |
1.0 Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja katika maisha ya kila siku (Sehemu ya kwanza) |
1.1 Kutumia dhana ya namba kuwasiliana katika mazingira tofauti |
2.0 Kufikiri na kuhakiki katika maisha ya kila siku (Sehemu ya kwanza) |
2.1 Kutumia stadi za mpangilio katika maisha ya kila siku |
3.0 Kutatua matatizo katika mazingira tofauti. |
3.1 Kutumia matendo ya namba ya kihisabati katika kutatua matatizo 3.2 Kutumia stadi ya uhusiano wa namba na vitu katika miktadha mbalimbali (fedha na wakati) |
4.0 Kufikiri na kuhakiki katika maisha ya kila siku (Sehemu ya pili) |
4.1 Kutumia stadi za vipimo katika miktadha mbalimbali 4.2 Kutumia stadi za maumbo katika miktadha wa Hisabati |
5.0 Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja katika maisha ya kila siku (Sehemu ya pili) |
5.1 Kutumia stadi za takwimu kuwasilisha taarifa mbalimbali |
MALENGO YA UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA SHULE ZA MSINGI
a. Kujenga uwezo wa kufikiri kimantiki kwa mwanafunzi.
b.kujenga udadisi,uwezo wa utatuzi wa matatizo.
c.kuweka misingi muhimuya matumizi ya teknolojia,mawasiliano,ufikiri na tafakuri
d.kujenga uwezo wa kuchambua na kuwasilisha taarifa
e.kukuza uelewa wa mambo, vipimo na matumizi yake katika maisha
f.kujenga uwezo wa kujiamini katika kutumia maarifa, stadi na mwelekeo wa kihisabati katika maisha ya kila siku.
0 #type=(blogger):
Post a Comment