AZIMIO DARASA LA 07

Bongo Life

 

UMAHIRI MKUU

UMAHIRI MAHUSUSI

SHUGHULI ZA UFUNDISHAJI

MWEZI

WIKI

VIPINDI

REJEA

VIFAA/ZANA ZA UFUNDISHAJI

ZANA ZA UPIMAJI

MAONI

 

1.0KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KUWASILISHA WAZO AU HOJA KATIKA MAISHA YA KILA SIKU         ( SEHEMU YA KWANZA)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

1.1KUTUMIA DHANA YA NAMBA KUWASILIANA KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kuwaelekeza wanafunzi kuhesabu kwa mafungu na kubainisha thamani ya nafasi za tarakimu katika namba zisizozidi 1 000 000 000

J

A

N

U

A

R

I

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2

5

 

 

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kadi za namba, sinia la namba, vifani vya noti za Tanzania

Mazoezi,maswali  na majibu

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kuwaelekeza wanafunzi kusoma namba nzima zisizozidi 1 000 000 000 zilizoandikwa kwa maneno na zilizoandikwa kwa tarakimu.

3

5

Kadi za namba, chati ya namba za maneno

maswali  na majibu

 

Kwaelekeza wanafunzi kuandika namba nzima zisizozidi 1 000 000 000 kwa numerali na kwa maneno

4

5

Abakasi, kadi za namba za numerali

maswali  na majibu

 

Kuwawezesha wanafunzi kujumlisha namba nzima kwa ulalo na kwa wima kupata jumla isiyozidi 1 000 000 000 kwa kubadili (kuchukua) na bila kubadili (bila kuchukua)

5

3

Kadi za namba, abakasi, chati ya namba, sinia la namba

maswali  na majibu

 

Kuwawezesha wanafunzi kutoa namba nzima kwa ulalo na kwa wima hadi 1 000 000 000 kwa kubadili (kuchukua) na bila kubadili (bila kuchukua)

F

E

B

R

U

A

R

I

 

 

 

 

F

E

1

2

Kadi za namba, abakasi, chati ya namba, sinia la namba

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia kadi za namba kuzidisha namba nzima kupata zao lisilozidi 1 000 000 000

1

3

Chati ya kuzidishia, kadi za namba

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia chati ya namba kugawanya namba nzima zenye kigawanye kisichozidi 1 000 000 000 kwa kigawanyo kisichozidi laki moja. Kwa kubaki namba na bila kubaki namba

2

3

Chati ya kuzidishia, kadi za namba

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia sinia la namba, chati ya kusidisha, kufumbua mafumbo yenye dhana ya kugawanya.

 

 

2

2

Chati ya kuzidishia, kadi za namba

 

 

 

maswali  na majibu

 

 

 

 

 

2.0 KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU (SEHEMU YA KWANZA)

2.1KUTUMIA STADI ZA MPANGILIO KUFUMBUA MAFUMBO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU.

Kuwaelekeza wanafunzi kutumia kanuni ya MAGAZIJUTO katika matendo ya namba ya kihisabati hadi manne na mabano na mpangilio wenye matendo na kipeo cha pili cha namba

B

R

U

A

R

I

 

 

 

 

 

 

 

3

3

 

 

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kadi ya matendo ya kujumlisha, kutoa,kuzidisha na kugawanya

maswali  na majibu

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia punje za mahindi kubaini na kurahisisha uwiano wa vitu na kukokotoa uwiano wa vitu.

3

2

Vitu vinavyo uwiano, punje, machungwa.

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia kadi za namba kukokotoa kipeo cha pili vya namba isiyozidi tarakimu nne.

4

2

Kadi za namba

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kutumia chati ya kuzidisha kukokotoa kipeuo cha pili cha namba isiyozidi tarakimu sita.

4

3

Chati ya kuzidisha, kadi za namba

maswali  na majibu

 

3.0KUTATUA MATATIZO KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

3.1KUTUMIA MATENDO YA NAMBA ZA KIHISABATI KATIKA KUTATUA MATATIZO

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kadi za michoro ya kugawanya namba nzima, kugawanya namba nzima kwa sehemu na kurahisisha.

 

M

A

C

H

I

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

I

3

Kadi za kugawanya namba nzima na sehemu

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kadi za michoro za kugawanya, kugawanya sehemu kwa sehemu na kurahisisha

1

2

Kadi za kugawanya sehemu kwa sehemu

maswali  na majibu

 

Kuwaelekeza wanafunzi kwa kadi za desimali iliyobadilishwa katika sehemu. Kugawanya sehemu kwa desimali

 

2

5

Kadi za kugawanya sehemu kwa desimali

maswali  na majibu

 

3.2KUTUMIA STADI ZA UHUSIANO WA NAMBA NA VITU KATIKA MIKTADHA MBALIMBALI

 

Kuwaelekeza  kuchambua  vyanzo  vya faida na hasara katika mauzo na manunuzi

Kupanga mapato na matumizi ya bidhaa mbalimbali.

3

3

Kadi za namba

maswali  na majibu

 

Chati ya mauzo na manunuzi

maswali  na majibu

 

Kufanya kazi mradi kuhusu mauzo na manunuzi kwa kuzingatia vigezo vya kuandaa kazimradi.

 

M

A

C

H

I

3

2

Chati ya mauzo na manunuzi

 

 

maswali  na majibu

 

 

MITIHANI YA KUFUNGIA NUSU MUHULA WA KWANZA   31/03/  HADI 11/04/2023

 

 

MITIHANI YA KUFUNGIA NUSU MUHULA WA KWANZA

 

 

 

 

4.0KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU (SEHEMU YA PILI)

4.1KUTUMIA STADI ZA VIPIMO KATIKA MIKTADHA MBALIMBALI

 

 

 

Kuwelekeza  wanafunzi kubainisha kanuni ya mwendokasi na kufafanua vipengele vyake

 

APRILI

 

 

 

 

2

5

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

T.E.T (2020) Hisabati kitabu cha Mwanafunzi Darasa la Saba, Dar es Salaam

 

 

Uwanja/eneo la wazi.

maswali  na majibu

 

Kuwelekeza  wanafunzi kukokotoa umbali , muda na mwendokasi, kutumia dhana ya mwendokasi kubaini vitu vinavyosafiri nchi kavu , majini na angani.

3

 

 

5

Picha za vyombo vya usafiri,chati ya kanuni

maswali  na majibu

4.2 KUTUMIA STADI ZA ZA MAUMBO KATIKA MIKTADHA YA HISABATI

Kuwaelekeza wanafunzi kubainisha kimo, kitako, na kiegama katika pembetatu mraba na kuzitofautisha.

4

5

Kipima pembe, chati ya picha ya maumbo

maswali  na majibu

Kutumia kanuni ya Paithagorasi kukokotoa kitako, kimo, na kiegama katika maumbo na kutumia kanuni ya Paithagorasi katika maisha ya kila siku.

 

MEI

 

 

 

 

1

5

Chati ya mchoro wa pembetatu

maswali  na majibu

5.0KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KUWASILISHA WAZO AU HOJA KATIKA MAISHA YA KUILA SIKU (SEHEMU YA PILI)

5.1KUTUMIA STADI ZA ALJEBRA KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

Kuwaelekeza  wanafunzi kurahisisha mitajo ya namba nzima, sehemu na desimali katika matendo ya kihisabati.

 

2

5

Chati ya namba

maswali  na majibu

Kutumia chati ya namba kukokotoa milinganyo sahili ya namba nzima sehemu na desmali

3

&

4

10

Chati ya namba

maswali  na majibu

MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA

 

 

LIKIZO YA MUHULA WA KWANZA -31/05/2023-  03/07/2023

 

Kufumbua mafumbo ya milinganyo sahili ya namba nzima. Sehemu na desimali

JULAI

1

&

2

10

 

Chati ya namba

maswali  na majibu

 

5.2 KUTUMIA STADI ZA TAKWIMU KUWASILISHA TAARIFA MBALIMBALI

Kuwaelekeza wanafunzi kuchora grafu kwa michiri kwa kuzingatia taarifa muhimu (kichwa cha grafu, vipimo, majira na michiri)

 

JULAI

 

 

 

3&4

 

10

Chati ya takwimu, karatasi ya grafu

maswali  na majibu

Kuwaelekeza kutafsiri grafu kwa michirizi na kufanya kazimradi kuhusu takwimu mablimbali kwa kuzingatia vigezo

 

 

AGOST

I

1&2

10

 

Chati ya takwimu

maswali  na majibu

 

Kuandaa kazimradi kuhusu takwimu mbalimbali kwa kuzingatia vigezo

3&4

10

 

Chati ya takwimu

maswali  na majibu

 

 

MAANDALIZI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

 


























 

 

 

 

 

HALMASHAURI YA WILAYA YA ____________________

                                              SHULE YA MSINGI ________________________

AZIMIO LA KAZI LA HISABATI DARASA LA VII 2022

MUHULA WA 1&2

JINA LA MWALIMU:   _____________________    

 

: Umahiri utakaojengwa kwa mwanafunzi darasa la VII

Umahiri Mkuu

Umahiri Mahsusi

1.01. Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja katika maisha ya kila siku (Sehemu ya kwanza).

1.1  Kutumia dhana ya namba kuwasiliana katika mazingira tofauti

2.02.Kufikiri na kuhakiki katika maisha ya kila siku (Sehemu ya kwanza).

2.1 Kutumia stadi za mpangilio kufumbua mafumbo katika

maisha ya kila siku

3.0  3.Kutatua matatizo katika mazingira tofauti.

3.1  Kutumia matendo ya namba ya kihisabati katika kutatua matatizo

3.2 Kutumia stadi ya uhusiano wa namba na vitu katika miktadha mbalimbali

4.0 4.Kufikiri na kuhakiki katika maisha ya kila siku (Sehemu ya pili).

4.1  Kutumia stadi za vipimo katika miktadha mbalimbali

4.2  Kutumia stadi za maumbo katika miktadha ya Hisabati

5.0  5.Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja katika maisha ya kila siku (Sehemu ya pili).

5.1  Kutumia stadi za aljebra katika maisha ya kila siku

5.2  Kutumia stadi za takwimu kuwasilisha taarifa mbalimbali

 

 

 

 

 

 

MALENGO YA UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA SHULE ZA MSINGI

a. Kujenga uwezo wa kufikiri kimantiki kwa mwanafunzi.

b.kujenga udadisi,uwezo wa utatuzi wa matatizo.

c.kuweka misingi muhimuya matumizi ya teknolojia,mawasiliano,ufikiri na tafakuri

d.kujenga uwezo wa kuchambua na kuwasilisha taarifa

e.kukuza uelewa wa mambo, vipimo na matumizi yake katika maisha

f.kujenga uwezo wa kujiamini katika kutumia maarifa, stadi na mwelekeo wa kihisabati katika maisha ya kila siku.

 

 

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Accept !