AZIMIO LA DARASA LA 03

Bongo Life

 

UMAHIRI MKUU

UMAHIRI MAHUSUSI

SHUGHULI ZA UFUNDISHAJI

MWEZI

WIKI

VIPINDI

REJEA

VIFAA/ZANA ZA UFUNDISHAJI

ZANA ZA UPIMAJI

MAONI

 

KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KATIKA KUWASILISHA WAZO AU HOJA (SEHEMU YA KWANZA)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

KUTUMIA DHANA YA NAMBA KUWASILIANA KATIKA MAZINGIRA TUFAUTI

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

i) kuwaongoza kuhesabu hadi 9999

 ii) kuwaongoza kusoma namba hadi 9999

 

JAN

UARI

 

 

 

2

6

 

 

T.E.T. (2018) HISABATI Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

 

 

 

T.E.T. (2018) HISABATI Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Chati ya namba

Maswali na majibu

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

iii) kuwaongoza kuandika namba kwa tarakimu hadi 9999

3

6

Kadi za namba

mazoezi

 

iv) kuwaongoza kuandika namba kwa maneno hadi 9999

4

6

Kasha la namba

Maswali na majibu

 

v) kuwaongoza kubaini thamani ya tarakimu katika namba

5

6

Chati za namba

Maswali na majibu

 

vi) kuwaongoza kugawa vitu halisi katika vipande au makundi yaliyo sawa.

FEBRUARI

 

 

1

6

Kasha la namba

Maswali na majibu

 

vii) kuwaongoza kusoma sehemu za kiasi na asili zenye tarakimu hadi mbili

 

viii) kuwaongoza kuandika sehemu kwa tarakimu hadi mbili

 

 

 

2

6

Kasha la namba

Maswali na majibu

 

 

KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU (SEHEMU YA KWANZA)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

KUTATUA MATATIZO KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI

 

2.1 KUTUMIA STADI ZA MPANGILIO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

KUTUMIA MATENDO YA NAMBA YA KIHISABATI

i) kuwaongoza kubaini vitu vyenye kuonesha mpangilio katika maisha,

3

6

Namba zenye asili/kiasi

Maswali na majibu

 

ii) kuwaongoza  kupanga namba kuanzia ndogo hadi kubwa

4

 

 

 

 

 

 

6

Namba zenye asili/kiasi

Maswali na majibu

 

Iii) kuwaongoza kupanga namba kuanzia kubwa hadi ndogo

 

 

 

 

 

 

 

 

 

i) kuwaongoza kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 9999 bila kubadili

ii) kuwaongoza kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 9999 kwa kubadili

 

 

 

 

 

 

MACHI

MACHI

 

 

 

 

 

1

6

 

 

 

 

 

 

 

 

6

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

iii) kuwaongoza wanafunzi kufumbua mafumbo yanayohusu kujumlisha

 

2

6

 

 

 

 

 

iv)  kuwaongoza  wanafunzi  kutoa namba zenye tarakimu hadi nne bila kuchukua

3

6

Chati ya namba , vihesabio

Maswali na majibu

 

 

 

LIKIZO YA  NUSU MUHULA WA KWANZA 31MACHI-11APRILI

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

v) kuwaongoza kutoa namba zenye tarakimu hadi nne kwa kuchukua

AP

 

 

 

 

2

 

6

 

T.E.T. (2018) HISABAT Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

Chati ya mafumbo

 

Maswali na majibu

 

 

vi)  kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kutoa

3

6

Chati ya namba , vihesabio

Maswali na majibu

 

vii) kuwaongoza kuzidisha namba zenye tarakimu hadi mbili kwa namba yenye tarakimu moja

4

6

orodha

Maswali na majibu

 

Viii) kuwaongoza kufumbua mafumbo yanayohusu kuzidisha.

ME

I

1

6

 

orodha

Maswali na majibu

 

 

KUTUMIA STADI ZA UHUSIANO WA NAMBA NA VITU

 

I) Kuwaongoza wanafunzi kubaini vipimo mbalimbali vya wakati

2

6

Chati ya kuzidisha

Maswali na majibu

 

ii) kuwaongoza  wanafunzi kubaini saa katika siku kwa kutumia mtindo wa saa 12

3

6

 

Chati ya mafumbo

Maswali na majibu

 

 

iii) kuwaongoza wanafunzi kutaja idadi ya siku katika wiki na majina  yake

 

 

MEI

4

12

vifani

Maswali na majibu

 

 

 

MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA

 

 

MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA

 

 

 

 

LIKIZO YA MUHULA WA KWANZA (31 MEI  HADI 11 JULAI 2023)

 

 

iv) kuwaongoza wanafunzi kutaja majina ya mwexi na idadi ya siku.

JULAI

 

 

 

 

 

1

&

2

 

 

 

 

 

12

 

T.E.T. (2018) HISABATI Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

kalenda

Maswali na majibu

 

 

v) kuwaongoza wanafunzi kubaini noti za Tanzania zenye thamani tofauti tofauti

vi) kuwaongoza kutaja umuhimu wa noti na matumizi ya fedha

3&4

 

12

Noti za Tanzania, vifani noti

Maswali na majibu

 

vii) kuwaongoza wanafunzi kujumlisha fedha za Tanzania kupata jumla isiyozidi sh. 9999

AGOSTI

1

6

Chati ya kujumlisha noti

Maswali na majibu

 

viii) kuwaongoza wanafunzi kutoa fedha za Tanzania zisizozidi sh. 9999 ix) kuwaongoza wanafunzi kufumbua mafumbo yanayohusu fedha

2

6

Chati ya kutoa noti

Maswali na majibu

 

KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

KUTUMIA STADI ZA VIPIMO KATIKA MUKTADHA MBALIMBALI

i) kuwaongoza kubaini vipimo vya urefu

 

3

6

 

 

 

 

ii) kuwaongoza kupima, kusoma, na kurekodi urefu wa vitu

 

 

4

6

 

 

 

 

MITIHANI YA  NUSU MUHUL A WA PILI

 

 

 

MITIHANI YA NUSU MUHULA WA PILI

 

 

LIKIZO YA NUSU MUHULA WA PILI ( 01 HADI 18 SEPTEMBA 2023)

Iii) kuwaongoza wanafunzi kubaini vipimo vya uzani

 

SE

3

&4

12

 

Chati ya mafumbo fedha

Maswali na majibu

 

 

 

iv) kuwaongoza wanafunzi kupima uzani wa vitu kwa kulinganisha kusoma na kurekodi

 

OCT

 

OCTOBA

1

6

 

Rula, tape kamba

mazoezi

 

 

KUFIKIRI NA KUHAKIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU(SEHEMU YA PILI)

 

 

 

 

 

 

KUTUMIA STADI ZA MAUMBO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

 

 

 

 

 

 

 

 

i) kuwaongoza kubaini maumbo bapa na yasiyo bapa

ii) kuwaongoza kutaja majina ya baadhi ya maumbo bap

 

2

 

6

 

 

T.E.T. (2018) HISABATI Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

 

 

 

 

T.E.T. (2018) HIABATI Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa la  III, Dar es Salaam

Mezani, vitu halisi

Maswali na majibu

 

 

iii) kuwaongoza kutengeneza baadhi ya maumbo bap

 

 

3

 

6

Chati ya maumbo bapa

Maswali na majibu

 

iv) kuwaongoza kuchora maumbo bapa

4

3

 

V) kuwaongoza wanafunzi kutengeneza maumbo kwa kutumia maumbo bapa.

 

4

 

3

Chati ya maumbo bapa

Maswali na majibu

 

vi) kuwaongoza kutaja vitu mbalimbali vyenye maumbo bapa katika mazingira yanayomzunguka

 

 

 

NOVEMBA

1

6

Chati ya maumbo bapa

Maswali na majibu

 

vii) kuwaongoza kutaja vitu mbalimbali vyenye maumbo ya ukumbi katika mazingira yanayomzunguka

 

 

2

6

 

 

 

 

 

Chati ya maumbo bapa, maumbo ya ukumbi

Maswali na majibu

 

 

KUTUMIA LUGHA YA KIHISABATI KATIKA KUWASILISHA WAZO AU HOJA(SEHEMU YA PILI)

KUTUMIA STADI ZA TAKWIMU KATIKA KUWASILISHA TAARIFA MBALIMBALI

i) kuwaongoza wanafunzi kusoma na kutafsiri takwimu kwa picha

 

3

6

 

Picha za takwimu mbalimbali

 

Maswali na majibu

 

ii) kuwaongoza wanafunzi kuandika idadi ya vitu kutokan n atakwimu kwa picha

4

6

 

MITIHANI YA MUHULA WA PILI 

DES

1

 

MITIHANI YA MUHULA WA PILI

 

LIKIZO YA MUHULA WA PILI ( 07 DESEMBA 2023)



















 

 

 

HALMASHAURI YA WILAYA YA _____________________________

                                                                                                  SHULE YA MSINGI _______________________________

AZIMIO LA KAZI LA HISABATI DARASA LA III 2023

MUHULA WA 1&2

JINA LA MWALIMU:   _________________________

UMAHIRI UTAKAOJENGWA KWA MWANAFUNZI WA DARASA LA III 

UMAHIRI  MKUU

UMAHIRI  MAHUSUSI

1.0  Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja. ( Sehemu ya kwanza )

1. Kutumia dhana ya namba kuwasiliana katika mazingira tofauti.

2.0 Kufikiri  na kuhakiki katika  maisha ya kila siku.   ( Sehemu  ya  Kwanza )

2. Kutumia stadi za mpangilio  katika maisha ya kila siku.

3.0 Kutatua matatizo katika mazingira tofauti.

3.1 Kutumia matendo ya namba  ya kihisabati.

3.2 Kutumia stadi ya uhusiano wa namba na vitu katika muktadha mbalimbali ( fedha na wakati )

4.0 Kufikiri na kuhakiki katika maisha ya kila siku.    ( Sehemu  ya  Pili )

4.1 Kutumia stadi  za vipimo katika miktadha mbalimbali.

4.2 Kutumia stadi za maumbo katika maisha ya kila siku

5.0 Kutumia lugha ya kihisabati kuwasilisha wazo au hoja. (  Sehemu ya pili )

5. Kutumia stadi za takwimu kuwasilisha taaria mbalimbali

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

MALENGO YA UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA SHULE ZA MSINGI

A) Kujenga uwezo wa kufikiri kimantiki kwa mwanafunzi.

b.kujenga udadisi,uwezo wa utatuzi wa matatizo.

c.kuweka misingi muhimuya matumizi ya teknolojia,mawasiliano,ufikiri na tafakuri

d.kujenga uwezo wa kuchambua na kuwasilisha taarifa

e.kukuza uelewa wa mambo, vipimo na matumizi yake katika maisha

f.kujenga uwezo wa kujiamini katika kutumia maarifa, stadi na mwelekeo wa kihisabati katika maisha ya kila siku.

 

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Accept !